Mr. Ngurudoto, good day. Habari ya huko amerika?
Inaelekea wewe ni mmoja wa watoto wa hao vigogo, unayetanua ughaibuni kwa vijisenti vitokanavyo na wapinda mgongo wa nchi yako. Hongera, ungekuwa mzalendo wa kweli usingejisifia kuishi ukimbizini. Wewe ni mkimbizi kama wakimbizi wengine, kuna...