shida yangu haswa ni kujua kama bodi ya mkopo inaangalia haswa tcu au chuo ulipopangiwa ndo inakuconsider kua umepata chuo maana tcu bado stil nimeandikiwa wait for approval
Wakuu ningependa kuuliza hii imekaaje yaan chuo kimenitumia sms ya Rector kua nimechaguliwa kujiunga na chuo cha Ifm na nifate documents kuanzia 12 oct lakin katika account yangu ya Tcu bado kuna waiting for approval..! Hivi haitaleta utata hii kwenye heslb..?
Nawasilisha
ndomana naomba kuangaliziwa mkuu japo mda umeenda ili nielewe kama jina langu lipo..! Naomba uniangalizie S3861.0043.2011 jina Ally Said kama simu yako inauwezo mkuu
itanisaidia ujipanga maisha ya kusoma bila mkopo..! Unadhani kutokupata taarifa muhimu kama hizi ni ukosefu wa useriousness? Omba yasikukute tu mambo kama haya..! Bila kujiunga jamiiforum ni mambo mengi tu yangenipita ila nashukuru humu baadhi ya watu wako consious na serious kusaidia watu...
sio kuchanganyikiwa ila ni kutaka kujua tu maana nilihangaika kuangalia sikufanikiwa kuipata Link ya majina.. Na hapa nlivoiona sina simu yenye uwezo wa kuyafungua.. Ndomana naomba msaada wakuangaliziwa ili nijue kama jina langu halipo au kama lipo nijue najipanga vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.