Recent content by Ally mmasai

  1. A

    Nini Maana ya "Tanga"?!

    Tanga maana yeke ni shamba,ni jina lililotokana na kabila moja pale jiji la wabondei,wakisema chaita tanga,wana maana ya twaenda shamba, Pia tanga ni eneo linalopatikana karibu na bahari,hivyo ukisikia tanganyika maana yake ni eneo linalopatikana karibu na bahari na eneo lililoko mbali na...
  2. A

    Ni kweli mimba yangu au ndo napewa mtoto wa nyongeza?

    Yani kisa chako ni kama changu,tofauti ni kwamba ya demu wako ni mwezi mmoja,ila wa kwangu mie ni miezi minne kasoro,pambana na hali yako,me nimeikubali tuuu nasubiria goma likitoka litakuwaje yani
Back
Top Bottom