Recent content by Ally dos santos

  1. A

    kwa waliosoma accounting udsm.

    Ila kama ungekuwa unajua kusudio la mtu mtu kuuliza wala usingefikia huko kwa kumuona mwenzio sio msomaji.
  2. A

    kwa waliosoma accounting udsm.

    No sa hv ni masanja ndo anefundisha kaka.
  3. A

    kwa waliosoma accounting udsm.

    Tafadhar jaman nlikuwa naomba kujua kuhusu hii course ya intermediate accounting ipoje na ugumu wake pia na nifanye strategies gan kuhakikisha nafaulu vzur hii course. Asanten
  4. A

    Msaada kwa Expert wa ACCOUNTING

    Sio ngumu kiasi hicho. Lkn cha msingi ni kuwa updated muda wote na kinachoendelea kufundishwa lkn pia mm binafsi nlikuwa nasolve saana maswali tofaut tofaut usiwe mzembe we fanya swali ukishindwa tafuta watu watakusaidia mwisho wa siku utaona ni rahisi kwako....!!! Ni hayo tu.
  5. A

    kwa 1st year wote udsm waishio dar.

    Ni vizur mkawahi mapema coz kuna kuwaga na folen saana hasahasa wakati wa kupiga picha so ni vyema mkawahi mapema pale kama watasema mpige picha basi zoezi hilo mlifanye mapema ili kuepuka usumbufu wa kutumia siku nying katka usajili!!!
  6. A

    Kwa wanao soma UDOM

    Jaman kwa watu wanaosoma UDOM naomba kuuliza kuwa hivi kuna uwezekano wa kubadili pale coz nna mdogo wangu kapangiwa B.sc in physics kwahiyo yeye anadai haipendi kwa jinsi anavopata sifa zake na yeye ana div three ya 13 na anataka kuhamia either nursing or midwife. So kuna huo uwezekano?
  7. A

    Hello

    yaaahhh nimekuwa nkipitia post za watu wengi saana kwa muda mrefu sasa me naamin ni kitu kikubwa ambacho kitanjenga.
  8. A

    Hello

    sawa mkuu.
  9. A

    Hello

    Natanguliza heshima kubwa mbele ya jukwaa hili makini ambalo nmekuwa nikihaishwa kwa kipindi kirefu sasa na hawa GT wa humu ndani... Thank u.
Back
Top Bottom