Naona huku nakutumia madaraka vibaya ziara zake zisemewazi Kama angesema yupokichama naona wangeenda kwenye mkutano wake wangekuwa niwanachama wake lakini pale ilikuwa niserekali ndiomaana huyodiwani aliomba alioyaomba unakuta Mtu anasema maendeleo hayanachama uwe ccm, chadema, cuf,act,wote...
Ifikemahali wajiulize wanatumikia chama au wananchi nawaona waowakobze nalichama wawewanapiga kampeni kwenyechama wanakotumikia watuache wananchi wanatupenda wakati wakuomba kura tu wakipata wanatumikia lichama hovyo kabisa
Mbona bati nikijani au mmeungana na ccm ndio maana wabunge namadiwani wenu huwahawakawii kuunga mkono mwanzoni tuliaminishwa kuwa act nivibaraka wa ccm lakini ndio chama kinachotoa upinzani mkubwa
Ninavyo fikiri mm walahuu sioushindi kwa ccm balinikujidanganya kwani unachukua Mtu mmoja lakini wengi wamebaki tatizo vijana nawengine wanahitaji mabadiliko kwahiyo uchaguzi uliopita walichagua chama siomtu chukua acha chama midhali chama kipo watu watachagua chama
Lakini hili lililotokea ziwa Tanganyika lakuchoma nyavu nabaada yahapo watu kwenda dukani kununua nyavu zilezile saizi ileile nabado wavuvi wanapata taabu kwa engine yamashine zakuwasafirisha kwenda kuvua wameendelea kuzishikilia wanahitaji pesa iliwarudishiwe mashine zao yaani wakanunue mashine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.