Recent content by ALLES MRUTHU

  1. A

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Barabara kuu ya kata ya Manolo kutoka makao makuu ya kata, Manolo, kwenda Shume Nywelo ni mbovu miaka nenda rudi. Wakulima wa kata hii wana bidii sana ya kulima. Wanakatishwa tamaa ya maendeleo na barabara hii. Mazao yao ya nyanya na viazi mviringo na maharagwe yanauzwa kwa bei ndogo kwa sababu...
  2. A

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kipande Cha Barabara kati Zaghati na Manolo kutoka Lukozi kwenda Mtae, wilaya ya Lushoto, ni sugu kwa ubovu. Wala si kwa sababu ya mvua za mwaka 2019/2020. Miaka nenda rudi ni hivohivo. Inazibwazibwa tu, hapa na pale. Mvua ikinyesha hali ya barabara inarudi vilevile. Barabara hii ni muhimu sana...
  3. A

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kata ya Manolo wilaya ya Lushoto imebaguliwa kwa kutowekewa umeme wa REA. Mfano vitongoji vya Manka, Kweeka, Mkunki, Nywelo, Madala, Lokome, Hekanda viko gizani mpaka Sasa. Vijiji vyote hivi viko katika kata moja ya Manolo. Umeme umefika makao makuu ya kata Hiyo kwa kuwa ni njiani mwa Barabara...
  4. A

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    DAWASCO, maji mengi sana yanapotea mitaani kwa kumwagika kutokana na mabomba yaliyo pasuka. Je, hamna kitengo Cha kuzungukia mitaa kubaini maji yanayo mwagika ovyo na kusabishia shirika hasara? Hizi Ni hela za wananchi. Wanaosoma mita hata wakiona wanapita tu.
  5. A

    DRC yakataza mikutano ya kisiasa

    Kila safari ina matokeo yake. Matokeo ya safari ya kuja tz ndio hayo.
Back
Top Bottom