Naomba kuuliza-hawa jamaa wanapohitaji kukagua leseni hata km haupo nayo hapo kwa hapo sheria inasema unatakiwa uwe umeiwasilisha hiyo leseni ndani ya masaa 72. Swali langu ni nn kinakuwa dhamana kati ya mkaguzi na mkaguliwa ili kuhakikisha kweli utapeleka leseni? Unaacha gari? Au ni jukumu lao...
I believe jamii inaelimika sana sherehe kubwa za harusi zitakw sio big deal tena. Kwa wale waliofanikiwa kutochangia harus hongereni. Na wale ambao bado tunachangia tunatoa lkn 95% kwa kunung'unika sana na kuumia coz ni ndugu, jamaa au rafiki huna jinsi. Kwa hii trend tutafika mahali huu...
ni upuuzi na ujinga mtupu. Tunapoteza Resources, muda, nguvu nyingi na tunachosha akili sana kwa ajili ya sherehe na gharama kubwa za harusi. tufike mahali kila mtu aamue kuoa kwa gharama ambazo ana uwezo nazo.
Lakini nadhani tunaenda vizuri kdg naona jamii inaanza kuelimika juu ya hili na...
namzimika sana huyu waziri yupo natural & simple afu anapenda kuwa natural. Tusilazimishe wote wawe hivyo wengine wana Vichwa na nyuso za Mviringo lazima wajitie mawigi jamani
Waliowekeza kwenye biashara ya ving'amuzi wana power kuliko TCRA (yenye mamlaka ya kusimamia) ndio maana wanajiamulia wanavyotaka. Utaratibu ulkw ving'amuzi vyote viwe na local channels lkn kila mwenye king'amuz anajiamulia anavyotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.