Recent content by Allan Rwego

  1. A

    Mke wangu amerudi nyumbani

    Blaza kwa ulivyoandika una stress sanaaaa. Anipelekeshe tu fresh kabisa si watoto watanufaika. Una roho mbaya kishenzy blaza eti hanipendi. Mimi ni sio wa ku bet bar na ku discuss mipira sio wa kuchukua tu ushauri bila kutathmini. Maneno hayajawahi kuniumiza ila furaha yangu ni priority na...
  2. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Subutu😄😄😄 wajinga wanafuata huu ushauri wajanja tunachakata utaoa wangapi
  3. A

    Mke wangu amerudi nyumbani

    Chief hilo ndio umeona eh natamani madogo niwarudishe kwa bibi yao nimchakate tu leo
  4. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Haha nilienza nae ndio nitakaemaliza nae gubegubes no no heri shetani ninaemjua na niliemzoea kuliko malaika mpya
  5. A

    Mke wangu amerudi nyumbani

    Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea. Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa...
  6. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    WAIFU AMERUDI NYUMBANI RASMI JANA IJUMAA. Niliusikiliza na kuufuatilia ushauri wako ulinigusa sana. Nilijifunza kumrudia Mungu huku naendelea kumtafuta mara kwa mara kwa meseji,vocha,watoto wangu niliwapelekea zawadi. Nikiri sitarudia tena kumkosea heshima na kuharibu nyumba yangu. Nimeamka...
  7. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Una maneno makali sana kiufupi nimekosea kweli si mara moja yani mara nyingi kila aina ya jambo baya unalojua. Kiukweli kanivumilia yani atachukua mkopo anisaidie huku na kule japo yeye ana mshahara mdogo mpk tumetulia sasa hivi. Niliamua kuuchuna kutomtafuta na yeye kimyakimya nimepeleka maua...
  8. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Kakaza kishenzi na hana mpango kuna mtu juu hapo kasema akitokea boya mmoja akam sound isha ndio itakuwa kimoja. Na wanawake wakipenda si ndionimetoka tena ndugu nahaha tena kama watoto waliobalehe
  9. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Mimi ni mwanaume ila nakukatalia. Aende kama kosa ni dogo sana. Langu hata shetani atamshangaa kwenda kwa wazazi wangu
  10. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Naona hUna ushauri wa maana fresh
  11. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Siwezi kuachana nae ana roho ya ajabu sana anasamehe sana mara nyingi ukikaa nae utashangaa
  12. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Asante ndugu asante sana ishu ni tukiwa wote anatakaga sana sasa inakuwaje huko au anavumilia. Jmosi nataka kuktumia ndugu yake ampeleke sehemu kinguvu alafu nizuke
  13. A

    Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

    Simpi talaka yoyote hata iweje kwa sababu nyingiii kikubwa wanangu wasipata anko mpya maana waifu nae anavyopenda mchezo wetu wa wakubwa dah
Back
Top Bottom