Recent content by allan mongi jr

  1. A

    Kukojoa faini 50000 mjini Morogoro

    ni uamuz wa manispaa ya morogoro ktk kile wanachodai kuweka mji safi,mwananchi anaekutwa anakojoa mjin morogoro analazima kulipa Tsh 50 elfu kama faini,sasa cha kusikitsha stendi ya vihiace na soko kuu la mji kunanuka maj machafu ya mitaro na ushuru unakusanywa kila cku,kuna maelezo mengine...
  2. A

    vyuo na jeshi

    yah nlickia pia tetesi hzo,ila habari zisizo rasmi kutoka kwa wanafunzi waliojeshini ni kwamba hakutakua na awamu ya 3 na mwaka huu na pia vyuo vng vnafunguliwa mwez wa kumi mwanzon na wa tisa mwishon,
Back
Top Bottom