Baadhi ya IT individual or Companies Tanzania wanachafua wengine, among wateja wetu , tuna clients 8 ambao tuliwapata from same cases,
Tunaitaj bodi ya ma it kuregulate behavior of all it individuals and companies toward clients.
Tungependa kutoa 50% OFF to redesign and start the project...
Habari,
Naitaji kufaham jinsi ya kupata access ya API ya NECTA ili kuweza kuverify index number ya mwanafunzi au utaratibu wowote au mwenye nazo anaweza kushare.
Asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.