Kuhusu jina karibu nyumbani. Tule mtori wa uzazi kisha jina utalijua ukifika huku kwetu rafiki. Usiwaze sana njoo pm nikuelekeze uje umuone anko wetu mpya wa JF aliyezaliwa.
Rafiki hii mada ilishamalizwa. Kazi nilishapata maana lengo hasa ilikuwa ni kupata kazi. nilishajifungua tayari na nikimaliza uzazi naendelea na kazi. Alishapatikana mtu mwema huku akani connect na kazi. Kwa hiyo haya maneno ya karaha jitahidi uyahifadhi moyoni mwako. Matatizo yameumbwa kwa...
Kama wewe ni Mkristo
Tafuta sana maarifa ya Neno la Mungu usije ukaangamia bila hiyo. Otherwise utubu kwa hayo maandiko unayopotosha nayo watu ili wakuamini. Tangu mwanzo wa maandiko yako hadi mwisho hakuna hata quote moja inayotoka kwa vitabu vya Munngu ikimaanisha ni mawazo yako ya...
Kabisa. Na ninachoamini ni kwamba ukiona mwanamke yeyote amebeba ujauzito na kupitia shida na kukataliwa ujue kwamba kinachopigwa vita ni kiumbe kilichoko tumboni kinakua kimebeba hatma kubwa ya maisha ndio maana anakataliwa asizaliwe. Kwa hiyo siwezi kumlaumu mtu hapa sio wao ni shetani anataka...
Asante sana kwa ushauri. Nimeshapata kazi ya kujishikiza kwa wakati huu rafiki yangu yani nina furaha sana kiukweli. Huku jf kuna wakatisha tamaa na watu wazuri pia wapo. Kikubwa nitapambana hadi tone langu la mwisho la damu ili huyu kiumbe aje duniani. Mungu ni mwema
Naendelea salama wangu. Mwenyezi Mungu ni mwema. Naomba uje/nije PM tuchati maana mambo mengine ni private siwezi kuyaweka hapa. Ila kama nilivyoeleza katika thread nina ujauzito wa miezi saba kwa sasa
Asante wangu. Mungu akubariki na kazi niliyokuwa naitafuta kuna mtu huku amejitokeza kunikonekti mahali na nimeshapata kazi asanteni sana kwa kujali wapendwa japo hiki kisa ni cha kweli. Me namwogopa Mungu siwezi kuja hapa kwenye hadhara nitunge uongo au nimsingizie mtu uongo maana hakuna faida...
Asante sana Teacher. Nimepata kazi tayari wangu. MUNGU AKUBARIKI. Hii fursa naachia wengine waipate. Jamani Tabora kazi hiyo wapendwa tuchangamkie fursa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.