Recent content by Aliyebobea

  1. A

    Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

    Napendekeza kuwa katika katiba hiyo mpya tunayodai, iwepo Mahakama ya katiba ambayo itaamua pamoja na mambo mengine, kuhusu uhalali wa ushindi wa Raisi. Pia ndiyo itaamua kuhusu mambo makuu yanayohusu katiba, ikiwa ni pamoja na kufanywa mabadiliko ya msingi
  2. A

    Liyumba aachiwa lakini PCCB wambeba...

    Hata hivyo tutaendelea kuwalaumu waandika mashtaka. Au wanafanya makusudi kuchelewesha mambo?
  3. A

    Ajali ya Dr. Mwakyembe na yatokanayo

    Ni muhimu tuendelee kupeana taarifa kuhusu hali ya huyu mpiganaji wetu. Pia tunahitaji kuhimiza na kufuatilia uchunguzi wa ajali yenyewe. Kwa mfano kuna taarifa (e.g. Mwananchi newspaper ya 22/5/2009) kuwa wakati gari ya Mwakyembe inaingia shimoni na kuanza kupinduka, kuna lori liliigonga kwa...
  4. A

    Utambulisho

    The Mbagala bombs have scared me a lot!! I have not much to say today except that in addition to being scared, I am sorry for not saying a word this long.
Back
Top Bottom