Recent content by Alfan issa

  1. A

    TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

    Hakika sisi ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea
  2. A

    Kwa dhuluma ambayo Jakaya Kikwete alimfanyia Mzee Lowassa, ataumaliza uzee wake bila amani

    Wazee wa matukio hao tushawajua, kwahiyo hawatuumizi kichwa
  3. A

    Kingwendu nusura aukwae Ubunge 2015

    Kweli alikaza sema hakufanikiwa
  4. A

    Profesa Kitila Mkumbo: Vijana acheni kuwa Chawa wa Watu Binafsi

    Sijui ndo huwa hamuelewagi? Kasema mtu binafsi Samia na Magu ni watu binafsi au kujisahaulisha
  5. A

    CHADEMA stukeni msipotumia akili mtajikuta mnaingia kwenye mtego wa Paulo Makonda na kumpa point tatu muhimu

    Umekuwa basi au wakati unakua ccm ilikuwa madarakani na mpaka Leo hii bado ipogi hujaelewa bado
  6. A

    Aonavyo Boniface Jacob kuhusu msanii kuvunjika jukwani Mapokezi ya Makonda

    Kwa Sie siwezi kuwa hivyo Kwa ajili najua vitabu vinakataza
  7. A

    Ni kosa kubwa sana la kiufundi kumteua Paul Makonda kuwa Mwenezi wa CCM Taifa

    Acha maneno mengi wewe sema kuchaguliwa Makonda kuwa Mwenyezi, itawafelisha chadema Kwa ajili hiyo ndo Kali yenu
  8. A

    Aonavyo Boniface Jacob kuhusu msanii kuvunjika jukwani Mapokezi ya Makonda

    Sema hujajua tu, Mungu ndo mpangaji wa kila kitu kiwe cha kher au Shari kitu gan cha kijinga angekuwa chadema sawa sio
  9. A

    CHADEMA stukeni msipotumia akili mtajikuta mnaingia kwenye mtego wa Paulo Makonda na kumpa point tatu muhimu

    Umelelewa na nan Kwan! Chadema si Jana tu au unajisahaulisha
  10. A

    Aonavyo Boniface Jacob kuhusu msanii kuvunjika jukwani Mapokezi ya Makonda

    Wataishia kufanyia siasa za kujificha Kwa kybord huku wengine wakikimbilia ughaibun watuachie nchi yetu wenye uchungu nayo
  11. A

    Aonavyo Boniface Jacob kuhusu msanii kuvunjika jukwani Mapokezi ya Makonda

    Ajali haina kinga mkuu! Na kila kitu Mungu anapanga kwahiyo nyie huko chadema hamuumiagi
Back
Top Bottom