Recent content by Alfan issa

  1. A

    GE2025 Kulikoni mbona maandamano ya Oktoba 29 yanazidi kushika kasi

    Kama una hela ya kujitibia pia ya kula ukiwa hospitali kaandamane
  2. A

    Duh Waarabu Sudan wanachinjana hadi ndani ya kambi za wakimbizi, roho ngumu, makatili balaa

    Bunge la ulaya halioni ya sudan? Au wao wanadii na nchi zenye aman wananiboa hawa
  3. A

    Naona wa mitano tena wamekata pumzi vipi kuna nini?

    Mitano tena kwa mama! Hapo vp😄
  4. A

    Kituko kutoka Zimbabwe: Tanzania yatambulika kama Islamic Republic (Jamhuri ya Kiislamu ya Tanzania)

    Umaumia bure ili hali unajua sio kweli! Ungekausha tu
  5. A

    PreGE2025 Lissu: Tutazuia uchaguzi kwa njia mbalimbali ikiwemo maandamano kama hakutokuwa na mabadiliko

    Hana mpya! Kama ni kuandamana akamuulize mbowe alioandamana na bintiye😄
  6. A

    Baada ya Marekani kusitisha misaada, Uingereza yaihakikishia Tanzania kuendelea kutoa misaada ya kimaendeleo

    Safi! Tisha sana Uengereza achana na huyo mwamerika mubinafsi
Back
Top Bottom