Ingawa unajaribu kukwepa hoja ya msingi, najua unafahamu vizuri zaidi kuhusu MFUMO KRISTO jinsi unavyoendesha nchi hii. Mimi ni kukumbushe kwamba, hata hao Waiislamu wenye madaraka wamedhibitiwa na mfumo huu hatari sana hapa Tanzania.
Chukua mfano mdogo tu katika sakata la Wanafunzi wa Kiislamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.