Naombeni msaada kidogo wakuu...nimepangiwa IFM third round ambapo niliomba fuculty tatu TAXATION,INSUARANCE AND ACCOUNT..na majibu yamekuja kwamba you are sellected bachelor degree 2019/2020..TATIZO ni kwamba hawajaonyesha wamenipangia fuculty ipi na nimeshaconfirm..msaada wakuu kwa anaejua!
Kaka vipi msaada tafadhali..nilichaguliwa saut mass communication lakini sijaipenda..nikireject inakataa sasa naomba ushauri ..naweza kuhama kwenda IFM coarse nyingine?
Naomba niingilie mada tafadhali...nahisi utakuwa unaelewa zaidi yangu kuhusu kuhama chuo...msaada wako tafadhali kaka..mimi nimepangiwa saut round ya kwanza mass communication lakini nikireject inakataa eti wameshaniweka kwenye system sasa msaada wa mawazo kaka je unaweza kuhamia chuo kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.