Recent content by alex001

  1. alex001

    JamiiForums Tanzania Updates: HESLB Loan Applications 2023/2024

    Rita walibadilisha mfumo... Tumia maelekezo hayo apo kwenye attachment
  2. alex001

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Habar zenu jaman
  3. alex001

    JamiiForums Tanzania Je chuo cha State University Of Zanzibar (SUZA) ni kwaajili ya wa kazi wa zanzibar pekee.??

    Naombeni msaada wana Jf. Naomba kujua Je chuo cha SUZA ni kwaajili ya wakazi wa zanzibar pekee au hata sisi kutoka Tanzania Bara tunaweza kuomba udahili na kusoma katika chuo hicho
  4. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu Elimu ya chuo kikuu

    Ahsante
  5. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu Elimu ya chuo kikuu

    Sawa
  6. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu Elimu ya chuo kikuu

    Ilikuwa mwaka Gan?
  7. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu Elimu ya chuo kikuu

    Ahsantee mkuu.. Kwhiyo hukuandka barua wala kutoa taarifa yoyote bodi ya mikopo na TCU??
  8. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu Elimu ya chuo kikuu

    Samahani wakuu nilikuwa naomba kuuliza.. Hivi ule utaratibu wa kuandika barua kwenda TCU kwaajili ya kuondolewa kwenye system Yao pamoja na kuandika barua kupeleka bodi ya mikopo kusitisha mkopo ili uweze kuapply upya chuo pamoja na mkopo ikiwa kama ulipangiwa mwaka uliopita na hukuweza kuripoti...
  9. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu course za kusoma chuo kikuu

    Shukrani
  10. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu course za kusoma chuo kikuu

    Najua lakin nimeuliza kuhusu coz za afya
  11. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu course za kusoma chuo kikuu

    Ahsante sana kwa ushauri ntafanyia kazi
  12. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu course za kusoma chuo kikuu

    Shukrani
  13. alex001

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msada wenu kwenye hili wakuu

    Vipi kuhusu nkisema niombe vyote next year yaani mkopo pamoja na chuo.??
  14. alex001

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kuhusu course za kusoma chuo kikuu

    Nimesoma combination ya PCB nimemaliza form six mwaka huu na nmefaulu kwa division I-8 lakini sijafanikiwa kwenda Chuo kwasababu za kiuchumi naomba msaada Je ni course Gan za afya tofauti na MD ambazo naeza nikasoma kwa mwakani zenye ajira lakini pia ambao ni rahisi kujiajili?? Naombeni msaada...
  15. alex001

    JamiiForums Tanzania Nahitaji msada wenu kwenye hili wakuu

    Sawa
Back
Top Bottom