Mswada huu unaenda kutengeneza taasisi za serikali zenye majina ya "vyama vya siasa", haiwezekani serikali ilazmshe vyama vya siasa kuwa na vifungu fulani ktk sera zao(mf. mbio za mwenge) inataka vyama vyte viiweke kwenye sera zao,unapnga uanaharakat kwny vyama vya siasa(Hmna uhuru wa chama cha...
Kwa serikali inayojiita ya wanyonge inashindwa kugharamia(kuwakopesha) elimu ya watoto wake wnyw ni kitu cha aibu sana sema yote yaltokana na "Cost sharing policy" walioipinga wakati huo wakaishia kufukuzwa chuo
Kiasi cha deni lililokuwa 2015 na 2016 limepungua kwa kiasi kikubwa na kwa maelezo yake mshahara na posho pekee visingeweza kupunguza deni hilo kwa kiasi hicho kuna mambo katuficha? bt big up kwake kwa kuonyesha uwazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.