Lini matamko yanayotolewa nchini yatakua ya uhakika? Yaani mwezi ukiisha tu lazima nilipie hata kwa steshen za ndani ya nchi.
Sasa AzamTv mtatumaliza maana hizo stesheni zilizokua bure sasa ni 500 kila siku.
sas wakiend oooohhhh wanatumia majanga na matatiz kisiasa wasipoend tena kelele nyingi sasa jamani muelewekaje. au mnataka waende kwenye kumbi za starehe maana mambo ya kijamii wakiacha ooihhh wameacha wakienda ooooohhh siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.