Ni sera tu Mkuu mwaka mmoja au miezi kadhaa ni mingi sana kwa teknolojia kikubwa sera tu
Mfano sisi bado tv ya 4k tunavimba wakati kuna simu ina 8k au tayari kuna simu za 6g zinatoka.
Sera tu Mkuu linawezekana
Mkuu mawazo yako kinzani na yangu nayaheshimu sana hatuwezi wote kuwaza jambo moja au kuona kwa jicho moja jambo fulani
Wala haionyeshi ujinga wa mtu kuhoji tofauti na mitazamo ya wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.