Juzi wakati naendelea na utundu utundu wa simu nkajikuta naweka rom ya h6 kwenye TECNO p5....... Ikafanikiwa kuflash lakini tangia hapo inawaka lakin hata Maneno mf TECNO hailet.......... Nmejarib kuflash kwa kumtumia sp tools nayo imegoma... Naomben msaada jins ya kuflash mwenyewe
Natumia techno p5... Leo nmebadili ROM ya lollipop 5.0 kwenda window phone 8.0......chakushangaza instragram haisapot n camera haipo......kila nnayo danload inagoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.