Recent content by Alawi Mawanda

  1. A

    Natafuta kazi ya kujitolea Dodoma

    Habari wana jamvi, natafuta kazi ya kujitolea kwenye taasisi au kampuni lolote, ninashahada ya mipango na usimamizi wa mazingira, kwa yoyote anaeweza kunipa mwanga tafadhal anisaidie. Huku nikiwa nasubiria sehem nyingine nilizoomba, asanteni.
  2. A

    Kuitwa kazini TRA (Wiki ya lala Salama)

    Mmh, acha tuzidi omba mungu maana c mchezo.
Back
Top Bottom