Recent content by Al islaam sipuru

  1. Al islaam sipuru

    Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

    Hahahaa mimi sahv natumia plastiki na mbao sitakagi ujinga
  2. Al islaam sipuru

    Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

    Mimi sio mchoyo mkuu akihitaji kujua na kujifunza na yeye anakaribishwa sana. Nipo tayari kumpa ujuzi ila rule no.1 asiwe na tamaa hata kidogo
  3. Al islaam sipuru

    Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

    Asante sana mkuu bado naendelea na faida inaingia vzr tu jana nimetoka kusafirisha mzigo wa zaidi ya laki nne mteja aliniomba nimfanyie shopping
  4. Al islaam sipuru

    Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

    Wakuu mliokuwa mkihitaji fact nadhan sasa mnaweza kuthibitisha. Namshukuru Mungu sa
  5. Al islaam sipuru

    Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

    Wakuu huu mchezo ni mgumu sana kuamini ila mpaka uingie ndani ndo utaelewa ni mrahisi sana kikubwa uaminifu tu. Hata mie mwanzo sikudhani kama mtu anaweza kuniamini ila sasa ndo napata picha kumbe imani yako tu ndo itakayokuponya. Kama utaamini kudhulumiwa basi hilo linaweza kutokea. Kikubwa...
  6. Al islaam sipuru

    Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

    Bado sijakuelewa mkuu nimekurupuka vp labda
  7. Al islaam sipuru

    Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

    Habari zenu wakuu. Leo nataka nilete ushuhuda kuna kitu nimekifanya na nashukuru kimenilipa tena kwa mara ya kwanza kabisa. Leo nilienda kkoo kufanya research za biashara nikapiga picha baadhi ya vitu na kuvitupia mtandaoni. Wala sikua na hela ya kulipia. Haikupita hata saa moja nikapokea...
  8. Al islaam sipuru

    Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Nataka kufungua maeneo ya Mombasa huku nimefanya research chakula migahawa mingi chakula chao hakina ubora. Na mwisho chakula hupatika ni saa tisa mchana baada ya hapo chipsi ndo nyingi
  9. Al islaam sipuru

    Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Habari zenu wana jamvi mimi ni kijana mwenye miaka 29 nimeajiriwa katika kampuni binafsi nna mpango wa kufungua restaurant na kianzio cha mtaji wa shilingi milioni moja tatizo linakuja kwamba sina ujuzi katika mapishi ila nilisomea hotel management na nime base sana katika service kuliko jikoni...
  10. Al islaam sipuru

    Wapendwa nimeshikwa na ugonjwa wa ajabu, Sura yangu imeharibika

    Tumia mafuta ya nazi original tengeneza mwenyewe. Mi niliwahi kuugua ugonjwa kama huo na mafuta ya nazi yamenisaidia sana
  11. Al islaam sipuru

    Tupeane ushauri namna ya kuwa millionaire kabla miaka 25

    Hapo labda ukaloge au upate mali za urithi kidogo unaweza kuwa millionaire katika umri huo
  12. Al islaam sipuru

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Habari wakuu. Mimi nna mtaji wa shilingi mil 3 nataka kuanza biashara ya kununua nguo za kiume na za kike na kutafuta fremu nje kidogo ya Dar kama vile Chalinze na maeneo ya kibaha. Inaweza kunifaa biashara hii...? Wenye uzoefu na biashara hizo tafadhali naombeni msaada
Back
Top Bottom