Recent content by Al-hadry

  1. A

    Anaetaka kubebwa UDSM

    Natafuta watu wawili wa kuwabeba cna tabu,ukiwa tayari nipigie,tafadhali usibeep..m.no 0719170039
  2. A

    Vyuo vikuu 7 bora kwenye masomo ya biashara na uchumi hapa tanzania.

    Jamani na hii school of journalism n mass communication ya udsm iko wapi?
  3. A

    Udsm joining instruction plus admission letter

    Samahani mkuu,hivi hakuna njia ya kupata admission latter mapema au document yyote ambayo itanijuza jinsi ya kulipa?coz nna mdhamini anataka nimpelekee mapema,natanguliza shukrani kwa kutusaidia
  4. A

    kwa yeyote anayetaka kujua kuhusu udsm

    Nijuzeni kuhusu hiyo admission latter jamani maana mdhamini wangu anaitaka ili anipe mshiko
  5. A

    kwa yeyote anayetaka kujua kuhusu udsm

    Mi 1st year ila kwetu tgta anaetaka msaada wa malazi anitafute wa mass com ntawapa kipaumbele
  6. A

    Natafuta kubebwa UDSM

    Thnx kka ni kabla ya tar ya kuripot au?
  7. A

    Natafuta kubebwa UDSM

    Help help help jamani wazee wa udsm,ntapataje admission latter?online au VP?
Back
Top Bottom