Were hujui utaratibu wa Mungu na sijui kama unasoma Biblia.
Hivi unajua Mtume Paul alikuwa mdhambi wa aina zote mpaka Uuaji?
Lakini Mungu alimbadirisha na ndio Mtume wa kipekee katika Biblia na hata jina akabadirishwa
Jaribu kufuatilia historia za watu ambao leo wanafanya kazi ya Mungu...
Kwanza hongera sana kwa mke wako.
Kuota ndoto za yajayo au maono maana yake
1. Anawasiliana na Mbingu
2. Malaika wake yuko active kumpa taarifa za yanayoendelea katika ulimwengu wa Roho.
Chochote unachokiona katika ulimwengu huu (Physically) maana yake kimeisha kamilika na kufanyika katika...
Kazi ya Cruise Control ni ku i command Computer ya kwenye gari imentain soeed unayotaka.
Mf ukiweka cruise control kwenye 40kmph maana yake Engine na mfumo wa gari utalazimika ku maintain hiyo speed bila wewe kufanya chochote zaidi ya kuongoza usukani tu.
Japo ikifika kwenye mlima na...
sio damu ni coolant ilimwagika baada ya rejeta kupasuka hahahaha wa tz bwana munashangaza sana aisee. hata picha hamuelewi?
Sent using Jamii Forums mobile app
sio damu ni coolant ilimwagika baada ya rejeta kupasuka hahahaha wa tz bwana munashangaza sana aisee. hata picha hamuelewi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiliana nasi, tuweze kukuhudumia.
Njoo na mahindi yako, tutakukobolea na kukusagia kwa gharama nafuu.
Huduma hii ni kuanzia tani 1 maana mashine zetu zina uwezo mkubwa wa kukoboa zaidi ya tani 30 kwa siku.
Unaweza kuja na mifuko yako yenye ujazo tofauti tofauti kulingana na mahitaji yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.