Recent content by Akili 09 Nguvu 01

  1. Akili 09 Nguvu 01

    Msaada wa Namna ya Kutengeneza Mtindi

    JF Wataalamu wa Mapishi mko pouwa? Mimi ni mdau wa maziwa, mara nyingi nimekuwa nikimwaga maziwa kwakuwa nashindwa kuyanywa kwa wakati Nimeona ninusuru hali hiyo kwa kuyatengeneza kuwa Mtindi Naombeni Msaada wa Namna bora ya Kutengeneza Mtindi kutoka kwenye Maziwa mabichi ya Ng'ombe. Nataka...
  2. Akili 09 Nguvu 01

    DOKEZO Walimu wa Shule ya Sekondari Rasesa wawashikisha watoto Pedi chafu

    Itoshe kusema mleta Mada wew ni mjinga, kwaiyo ulitaka Walimu wawachekee tu hao wanafunzi wajinga? Kwani wew unajikuta ni nan adi utake kuita wanafunzi wote mstarini? Natamani nikutane na mjinga kama wew
  3. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Sawa, hili nalo ntakwenda kulitizama
  4. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Ulivoanza tu "chukua pumba" nikajua unaongea Pumba hata sijaendelea kusoma. Anyway ahsante kwa Maoni yako ya kijinga
  5. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Ahsante, ntaitafuta hii
  6. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Bila kuzingatia Jinsia ya mtu, naomba Ushauri wa Vyakula vya kutumia ili mtu anenepe apendavyo yeye
  7. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Milo mitatu kwa siku ninapata Vitafunwa kati ya mlo na mlo ninapata ipasavyo Mawazo nmepunguza hadi yameisha so sina mawazo Kwenye mpenzi apo sasa ndo tufanye Ajenda yetu mimi na wewe. Naomba nije PM tuongee vizuri lakini kwa sasa mpenzi sina ila naona kabisa wewe utanifaa
  8. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Nguvu mwilini ninazo, na nguvu za kiume pia ninazo, nahitaji kuongeza mwili kidogo
  9. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Wewe ni Kaka yake Shetani baba mmoja mama mmoja na jina lako linashabihiana na yaliyomo
  10. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Ndo zipi izo, if ni vyakula so vyakula gani vya protein?
  11. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Nlikua na Kilo 80 wakati naumwa nikawa na Kilo 78, lakin sina unene n nmepungua kdogo so nataka nijenge Mwili wangu urudi normal yaan nisiwe mwembamba wala nisiwe mnene, saiz nmekua mwembamba kidogo
  12. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Yaah that's true bro. Sihitaji Unene ule wa kupitiliza just wa kawaida tu
  13. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Ahsante. Welcome tugonge cheers
  14. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Hili sio Jukwaa la Mapenzi Falcon
  15. Akili 09 Nguvu 01

    Naomba kufahamu vyakula vya Kunenepesha Mwili

    Ahsante. Nafurahi tumeelewana sasa. Nilimaanisha ivo
Back
Top Bottom