Milo mitatu kwa siku ninapata
Vitafunwa kati ya mlo na mlo ninapata ipasavyo
Mawazo nmepunguza hadi yameisha so sina mawazo
Kwenye mpenzi apo sasa ndo tufanye Ajenda yetu mimi na wewe. Naomba nije PM tuongee vizuri lakini kwa sasa mpenzi sina ila naona kabisa wewe utanifaa
Nlikua na Kilo 80 wakati naumwa nikawa na Kilo 78, lakin sina unene n nmepungua kdogo so nataka nijenge Mwili wangu urudi normal yaan nisiwe mwembamba wala nisiwe mnene, saiz nmekua mwembamba kidogo
Wee bwana wee! Ebu ficha aibu ndogondogo izi
Nmeandika Chef na nmemaanisha Chef na sio Chief
Kabla ya kuandika Ujinga wako hapa basi jipe muda chukua Kamusi angalia tofauti ya Chef na Chief
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.