Bila kitunguu swaumu,hiliki unapikaje pilau nimemuambia ya shughuli ile unakuja na ndizi mvivu kula shughuli I ,sahihisha hapo,likipikwa shaba mpaka mtaa wa tatu wanaipata fresh siyo pilau la kizungu mango mkuu
Afu TENA nasikia wanatafunwa na fangasi askari wengi ni wagonjwa Hivyo wanauhaba wa askari,na wanakata mawasiliano Dunia isijue aibu ya Yahudi,kiukweli sass amebaki kuuwa watu HOVYO ni dalili ya kushindwa wana wa Israel taifa teule aibu sana ni laana ya kumkataa mkombozi wao inaendelea kivingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.