Marekani na Waisraeli ni wajinga badala ya kupiga pia Miji ya Iran kama Iran inavyopiga makazi ya Raia Israel, hao Iran hawawezi kusalimu amri wasipoumizwa, unafuata sheria wkt unapigana na magaidi wasiokuwa na huruma na wewe kisa ni myahudi au mkristo.
Si ndiyo hapo sasa za Israel zipo ndani ya Iran bila kizuizi halafu mtu anasema za USA zimenyata ujinga mtupu, Iran imeshadhoofika kijeshi inabaki kurusha makombora hovyo bila kulenga miundo mbinu ya kijeshi.
Wabunge ni useless tunataka serikali za majimbo tuwe na magavana, mbunge hawezi kuamuru hata choo kijengwe kikajengwa, yeye ni mwakilishi tu, TUMENYIMWA HAKI YA KUCHAGUA VIONGOZI, tunaletewa makada wa chama waongoze mikoa na wilaya ambao hawajachaguliwa, UNELECTED LEADERS.
Toa ubaguzi wa rangi na udini, Gaza kuna vita ya Hamas na IDF hakuna mauaji ni matokeo ya COLLATERAL damage, kama ni uislamu huko Sudan na Myanmar wanakufa waislamu tele hamsemi
Hata ktk vita kuna sheria zinazolinda kutotesa mateka wa kivita waliovamia nchi yenu na ukiwatesa utashitakiwa!! CCM uroho wa madaraka utawaponza siku moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.