Hapa sayansi ya utendaji kazi wa engine itusaidie
(1)Engine inayofanya kazi hupandisha oil na kufanya maji kufikia joto la juu na pressure ya huu, hivyo ni sahihi kuiacha gari iddle kwa muda ili oil ishuke maana msukumo umepungua na feni ipooze maji na radiator kabla ya kuizima, na muda...
Kuegesha muda mrefu kunaweza kuharibu gari lako ikiwa tahadhari haitachukuliwa:-
(1)Battery...ifungue isiwe imeungwa kwenye mfumo. Hakikisha haiishiwi charge.
(2)Engine iwashwe angalau mara mbili kwa mwezi na kuachwa iungurume japo kwa dakika kumi hadi nusu saa.
(3)Gari itembezwe angalau mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.