Huu mfumo ni hasa upande wa Uhamisho ni uongo hakuna atakae hama Kupitia huo mfumo kwa kuwa ubabaishaji ni mwingi ukiwapigia simu majibu yao ni haya:
#Subiri maombi yenu yanafanyiwa kazi utaona mabadiliko.
#Sasa hivi maombi ya kwenye mfumo hayafanyiwi kazi subiri mpaka katibu Mkuu atakapoamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.