Recent content by Airun

  1. A

    Chuo cha utapeli Tabata Magengeni

    Kuna chuo kinaitwa TANZANIA AVIATION UNIVERSITY COLLEGE kipo Tabata Magengeni Dar es Salaam kina husika na maswala ya anga, kwanza hakina hadhi ya kuwa chuo kikuu cha anga Tanzania, pili hakina ma instructor (waalimu) wenye hadhi na vigezo vya uana anga, tatu kiko mazingira hatarishi kwa...
  2. A

    Utapeli chuo cha anga Tabata

    Jamani kuna chuo kinaitwa TANZANIA AVIATION UNIVERSITY COLLEGE kipo Tabata mnakizungumziaje? Vigogo na baadhi ya binadamu wasiokuwa na huruma wanakula pesa za bure za watanzania wanaotafuta pesa kwa shida bila huruma yeyote, wanafanya utapeli tu mjini. Jamani watanzania tufunguke. Je Tanzania...
Back
Top Bottom