Wanavodai ni kodi ila ninachoshangaa ni inakuwaje kodi inalipwa US na mzigo ukifika TZ kodi inalipwa tena..Ila nimezhaekewa maybe ndo system na inawezekana wanacharge kulingana na declare value
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kutuma uku kuja Tz kwa njia ya posta ni rahisi Sana,ila nilituma mzigo kwa $250 ulipofika Tanzania posta wakakataa kuutoa adi nilivolipia laki 5 na nusu, so ndo apo sielewi kwanini inakua ivyo? Sababu mzigo ukitoka Tz kuja marekani unaletwa adi mlangoni na sidaiwi kitu ,so iyo hela...
Habari zenu jamani, nilikua naomba kama kuna mtu anajua njia rahisi ya kutuma mizigo kutoka Marekani kwenda Tanzania anipe mwongozo.Coz sielewi Tanzania posta wanatumia vigezo gani wanapo charge mzigo tena mara mbili ya ulivolipiwa marekani.Plz naomba anaefaham anielekeze
Sent using Jamii...
Zao hili hustawi katika maeneo yenye hali ya kitropiki, kutoka usawa wa bahari hadi mwinuko wa mita 1,500 au zaidi. Huhitaji mvua kiasi cha mm.1,200-1,800 na joto la wastani wa nyuzi za sentigredi 20-25. Hustawi vema katika udongo tifutifu wenye rutuba na usiotuamisha maji
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.