Hii movie wameicheza vibaya, ukifuatilia mwezi huu wa nne sijaona vyombo vikiripoti ajari buguruni kwamba hiyo ajari haikuwa na umuhimu?, jeshi la polisi lina vibaka,taarifa yake hajasema ni tarehe na muda ilitokea ajali hiyo, na Ni lini maiti ilienda amana kisha kilwa.
Hizo akili wanazo basi? ,hawa hata wanapodanganya huwa akili zinakuwa off line hawafikirii ninauhakika ukienda pale amana getini huwezi kuona kuna maiti ilihamishwa kwenda kilwa Road, na huwezi kuta taarifa hiyo mortuary
Hii Ni tafsiri yako lakini si tafsiri ya mantiki ya waandaaji! Stori haizungumzii Jana tu, ni leo kesho ama keshokutwa, stori ya mabadiriko sio kitu cha kifikirika kama ndivyo inapoteza maana hiyo na kuwa Andiko bunifu ambayo yaweza kuwa Riwaya, tamthilia, hadithi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.