Nimefanya Kazi ya uber kwa muda kidogo Nikiwa napewa Day waka na Watu au Marafiki zangu. Sasa nimefanikiwa Kupata kiasi cha pesa nahitaji Gar za mkataba au mikopo Nafuu .
Pesa niliyonayo ni Million 3.
Sehemu nyingi nilizoenda wanataka Hati ya Nyumba. Sasa naomba msaada kwa yeyote anaejua juu...
Samahani wana jamvi. Naomba Msaada wa shule Kwaajir ya PC. Iwe nzury na Ada iwe nafuu kidogo Ikiwa Boding Au Day Sawa ila isiwe Dsm. Morogoro na Iringa first choice
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.