Hello.. karibuni sana wote ambao mnahitaji huduma ya massage. Nipo mm na wenzangu. Tuna timu yetu mikoa mbali mbali. Mimi binafsi nipo dar es salaam. Namba yangu ni 0787264085. Karibuni sana wote kwa huduma nzuri.
Asante
Unajua inashindikana kufunga kozi hio kwasababu watu wanaenda wanazeeka wanastaafu na wengine wanabadili fani. Huwezi kusema mm nafunga udahili kwasababu hawa walimu nilio nao wanatosha. Kuna kesho wakiwa ulionao hawapo au kupungua kutokana na mazingira hayo nilio sema, serikali unafikiri itakua...
Hio haiwezekani. Hapo mtabanana umo umo. La msingi ni kufikiria na kushauriana kabla ya kusoma kozi. Ualimu ulikua uhakika zamani ila saizi hapana. Imekua kazi zake ni bahati
Ni challenge ametoa ambayo ni kweli. Ila wengi wanaosomesha watoto wao private wanakuwaga pia na uwezo wq kuwekeza kwenye viwanja na mashamba ila huwa hawavifikirii kwa badae. Kwaio wadau kama mtu anaweza wekezeni kwenye viwanja na shule nzuri mpeleke mtoto. Vinasaidia miaka ya mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.