kiongoz, ni kheri kuwa maskin wa mali lakin ukawa tajili wa hekima, busara ukiachia mbali Elimu ya darasani, utajili unanunuliwa hata hapa mjini upo(Freemason) ,hivyo ni maamuzi ya m2, usimcheke na kumdharau m2 ndugu.
much dissapointed,think critically and judge as a gentlemen.
Hapana ,napenda sana kufanya kazi na Wazawa, ila tatizo ni Who you know na sio What you know Iliyopo hapa kwetu,siwez kusema siko sawa, niko safi nadhani ndio maana hata hawa wazungu wananikumbuka sana hasa kwa mawasiliano, na siwez kuchagua kazi kiongozi, na kuhusu uandishi wa CV sina uhakika...
shukran kwa mawazo mazuri ndugu, zaidi sitoweza kukata tamaa na kukaa ndani tu, pia wazo la kufanya kazi nje naliafiki na jana nimetoka kujaza form za VSO( Voluntary Service Overseas) lakini nimelazimika kufanya hivyo kwa sababu ya uhaba wa ajira though itachukua mda mrefu, na kuwa mbali na...
niliinvest kwenye salon ya kike lakin mjanja katokemea nayo mitin, nami napenda sana biashara ila kwa sasa niko empty guyz, hawa wadogo zangu wa chou ni private scholaz saut na sokoine hivyo cost zao mimi, cjui nifanyeje........
nimejaribu kuapply sana, lakin nimegundua kikwazo ni hii kazi niliyokuwa nafanya ilikuwa haiendani na teaching, nilikuwa nafanya kazi Research and Publication work as Assistant to Research Director.
niliamini kumtumia m2 kungesababisha kuleta mafanikio haraka zaidi kwani nimeanza nimeanza kufuatilia suala hili tangu sept 2012, kuhusu fursa ya biashara ipo, nilikuwa na salon ya kike hapa mjini lakin kutokana na mizunguko mingi pindi niko na hawa wazungu , msimamizi wangu akawa ametokomea na...
Niliomba lakin inaonekana nilikuwa namtumia wrong person mimi nikijua ndo top wa pale, lakin inaonekana haitowezekana kwa sasa au itachukuwa mda sana kupata nafasi.
Sijawaomba kwa sababu za kifamilia zaid, wazaz wangu ni wazee sana hivyo wadogo zangu wananitegemea hasa kwa kuwasomesha, hivyo kutoka nje ya nchi itakuwa ngumu kwa sasa.
wapendwa watanzania wenzangu, naombeni connection ya kazi,nilikuwa nafanya kazi ya mkataba na wazungu lakini mkataba umeisha na mda wa wao kuishi hapa tanzania umeisha hivyo sina kazi.
nimezunguka sana maofisini na zaidi naingia galama zingine na kupoteza fedha nyingi kwa waajili bila...
nimekuelewa kiongozi, lakini tunapo sema BAED sio kwamba tunasema mtu specifically awe mwalimu, ndio maana kuna course zingine tunasoma kwa mfn: Project planning and management, Human resource management and development, natural reources management, Research paper and research methods n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.