Recent content by ahbsa

  1. A

    Kituo cha BRT na Daladala Gerezani

    Hii uhakika?? aisee itakuwa poa sana. Na pia serikali itaweza kukusanya mapato kwa anaetaka kulaza gari lake. (Kwa services kama usalama na ulinzi wa hayo magari)
  2. A

    Kituo cha BRT na Daladala Gerezani

    Ni bora yakae/ yalale sehemu yaliyotengewa kuliko kuzagaa mitaani. Ni wazo tu mkuu. Nahisi itapungunza sana msomgamano kariakoo
  3. A

    Kituo cha BRT na Daladala Gerezani

    Habari zenu Ndugu. naomba ufafanuzi kidogo maana kuna jambo linasababisha kero na foleni kubwa ndani ya kariakoo. hivi haya madaladala yenye route kama masaki---gerezani kwanini yanaishia kariakoo na hayafiki kabisa gerezani? je kuna mpango wa kuyahamishia kituo cha gerezani? kituo hicho kipo...
  4. A

    Kwanini daladala hazifiki Kituo cha BRT na Daladala Gerezani?

    Habari zenu Ndugu, Naomba ufafanuzi kidogo maana kuna jambo linasababisha kero na foleni kubwa ndani ya Kariakoo. Hivi haya madaladala yenye route kama Masaki---Gerezani kwanini yanaishia kariakoo na hayafiki kabisa gerezani? Je, kuna mpango wa kuyahamishia kituo cha Gerezani? Kituo hicho...
Back
Top Bottom