hv ni kweli mtian wa form four ambao matokeo yao tumepata kwa sasa ni kweli wanatakiwa kurudia mtiani????.........maaana wana JF kwa sasa mitaani wadogo zetu wanasema kwamba wameambiwa na walimu kwanba kuna hii ki2
kwa yeyote ambae anajua hili swalla atusaidie.....:A S 114::A S 114:
Yap haya maneno yanakuwa yanachanganya sana wa2....inafikia kipind some of p'po wanakuwa wwana shout kabissa kwa kusema institute is bettr than UV and vise versa.....so wana JF kama kuna m2 yupo deep kwa hizi Termnlogy emu anifaamishe!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.