Recent content by Agustino ngatunga

  1. A

    Ulizia hapa kuhusu Shule uliyo chaguliwa 2014/2015

    jaman naomba mnisaidie kupata joining instruction ya usagara high school coz mpaka leo mashule tulipomaliza hazijafika..naomben msaada wenu
  2. A

    nauza bahasha za kuwekea dawa mahospilin na phamacy

    ndugu wanajamvi nauza bahasha za kuwekea dawa mahospitalin na kwenye phamacy so kama kuna mtu anaitaji zinapatikana.
  3. A

    Post za kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2014/2015

    wamesema shule n mwez wa saba,sasa wanavyo chelewa kutoa hizo selection na post hawaon kama watasababisha wanafunz weng watachelewa kwenda shule kutokana na muda mdogo wa maandaliz,kama kununua vifaa vya shule,ada,na hata nauli na hela ya matumiz kwa wale watakao chaguliwa mbal . au mnaonaje wadau?
  4. A

    2014/2015 Scholarship for Masters and PhD studies at Alexandria University, Egypt

    iv mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne akiitaji scholarship inakuwaje?. yaani namaanisha ataendelea kusoma kidato cha tano au atapelekwa kusoma college moja kwa moja? naomba ushauri juu ya hilo ndugu.
  5. A

    Hodi

    am newcomer,i need your support
Back
Top Bottom