Sawa upo sahihi lakin emu fikiria we hujawahi kumkosea mkeo???Kama mtu kakosea na kaomba msamaha means katambua kosa lake ana haki ya kupewa nafasi nyingine pengine kabadilika na atajuaje Kama kabadilika asipomsamehe ili kumsoma tabia yake
Kama ni mkristo ndivo ivyo anatakiwa kufanya asamehe akae na wakubwa waongeee na mkewe wajue Kama wataendelea kwa Aman au inakuwaje,ikumbukwe ukishaoa umeoa na ukiolewa umeolewa tofauti na hapo afanye tu vyovyote ila atakuwa kinyume na biblia,Kama n Muslim cjui kwa upande huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.