Recent content by Aggrey sallah

  1. Aggrey sallah

    Vijana tumekuwa wavivu kufikiri fursa mbalimbali ili kujikwamua na changamoto za ajira!?

    Ndugu Mdau, kama mnavyojua nchi yetu inakabiliwa na changamoto kubwa ya ajira Kwa Sasa, je unadhani mfumo wa sasa wa elimu nchini unawaandaa vizuri vijana kwa ajili ya soko la ajira au vijana tumekuwa wavivu kufikiri fursa mbali mbali Ili kujikwamua na changamoto za ajira!? Pili, Kwa statistics...
  2. Aggrey sallah

    Nguvu ya Kutokukata Tamaa: Mdau, Hadithi Yako ya Mafanikio ni Ipi?

    "Get rich or Die trying" 🔥 🔥 thanks brother Miguel wa II for sharing. Tajiri mmoja nilimuuliza Ndugu yangu ni Nini Siri ya mafanikio Yako. Alinijibu, "when I start anything, I fight until it complete no matter what obstacle on my way" lkn akanisisitiza on doing the right things on right time...
  3. Aggrey sallah

    Nguvu ya Kutokukata Tamaa: Mdau, Hadithi Yako ya Mafanikio ni Ipi?

    Na bado mwamba anadunda, Yees hakuna kukata tamaa Ndugu yangu, let keep pushing!
  4. Aggrey sallah

    Nguvu ya Kutokukata Tamaa: Mdau, Hadithi Yako ya Mafanikio ni Ipi?

    Hakika Hakika Ndugu yangu hakuna Nafasi ya kukata Tamaa, consistency is the key to success. Hakikisha ukianza jambo mpaka lifike mwisho, hakuna kuishia njiani. Let keep fight ✨ 💪
  5. Aggrey sallah

    Nguvu ya Kutokukata Tamaa: Mdau, Hadithi Yako ya Mafanikio ni Ipi?

    Kwa upande wangu, Mr Kenzy kutokukata tamaa kumekuwa msingi wa mafanikio yangu. Nilipokuwa mdogo, niliishi katika mazingira yenye changamoto nyingi, lakini nilijifunza kwamba kila changamoto ni fursa ya kujifunza na kukua. Licha ya kukosa rasilimali nyingi, niliendelea kusoma kwa bidii na...
  6. Aggrey sallah

    Nguvu ya Kutokukata Tamaa: Mdau, Hadithi Yako ya Mafanikio ni Ipi?

    Katika safari yako ya mafanikio, ni wakati gani ulijikuta karibu sana na kukata tamaa? Ni nani au nini kilikusukuma uendelee mbele? Tunapenda kujua hadithi yako na mambo yaliyokupa nguvu ya kusimama tena na kuendelea kupigania ndoto zako.
  7. Aggrey sallah

    Paul Makonda's resilience and character serve as an inspiring example for all of us

    Mr. Paul Makonda's resilience and character serve as an inspiring example for all of us. Despite facing challenges and adversity, he maintained his composure and integrity. His unwavering belief in God, his commitment to his principles, and his willingness to persevere are qualities we should...
  8. Aggrey sallah

    Unazijua faida za kuandaa AFCON? Tuanze kuzimulika hizi, nawe unaweza kuongezea hapo chini

    Kuna viwanja viwili vinatengenezwa Arusha na Dodoma. Venye kuingiza mashabiki I think 30,000
  9. Aggrey sallah

    Unazijua faida za kuandaa AFCON? Tuanze kuzimulika hizi, nawe unaweza kuongezea hapo chini

    Nimefikiri Kwa kina sana na kuona Tanzania inaweza kupata faida kadhaa kutokana na kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON): 1. Kukuza Uchumi wetu: Kuandaa AFCON kunaweza kusababisha kuongezeka kwa utalii, maendeleo ya miundombinu, na fursa za ajira, zinazoweza kuinua uchumi wa Tanzania even...
  10. Aggrey sallah

    Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Habari wakuu? Ivi hapo kwenye Uteuzi wa Dr. Stephen Isaac Mwakajumilo imekaaje hii? Maana Dr Stephen ni mwenyekiti wa Chama Mkoa wa Mbeya! Na Sasa ameteuliwa kuwa DC tena.
  11. Aggrey sallah

    Maharagwe mazuri Sana "Karianzee"

    Maji Moja tuu boss wangu, muulize Mshana Jr nimeweza kumpelekea order yake.
  12. Aggrey sallah

    Maharagwe mazuri Sana "Karianzee"

    Ndio Boss, ondoa Shaka.
Back
Top Bottom