SIASA YETU INATUPOTEZA AU INATUSAIDIA?
Wasalaam aleikum, wanajamii wenzangu. Leo nimeamua kuongelea siasa ya Afrika huru, je ni kweli inatusiadia au ndo unatupoteza? Naombeni maoni yenu. Nchi nyingi za kiafrika tangu kupata uhuru wamekuwa na mfumo wa uendeshaji wa nchi zao kupitia siasa tena...
Naipenda nchi yangu
i: Ushauri kwa Serikali - “Tanzania Tuitakayo”
Ndugu Mheshimiwa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan
Sekta ya Elimu: Ili kuendeleza taifa letu, ni muhimu kuwekeza katika elimu kuanzia ngazi ya msingi hadi vyuo vikuu. Serikali ihakikishe inaboresha miundombinu ya shule, kuongeza...
1:Elimu ya Uraia: Elimu ya uraia ni muhimu sana katika kuongeza ushiriki wa wananchi. Wananchi wanapaswa kuelewa vizuri madhara ya rushwa katika jamii na uchumi wa nchi. Wanapaswa pia kufahamu haki zao na jinsi gani wanaweza kuchukua hatua pale wanapokutana na rushwa. Elimu hii inaweza kutolewa...
Kuendeleza uchumi wa bluu wa Tanzania kwa miaka 25 ijayo, inaweza kufanyika kupitia miradi mbalimbali:
1. Uvuvi Endelevu: Kuanzisha na kutekeleza sera za uvuvi zinazolenga uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali za bahari.
2. Utalii wa Baharini: Kuendeleza vivutio vya utalii kama vile...
Kuendeleza uchumi wa bluu wa Tanzania kwa miaka 25 ijayo, inaweza kufanyika kupitia miradi mbalimbali:
1:Uvuvi Endelevu: Kuanzisha na kutekeleza sera za uvuvi zinazolenga uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali za bahari.
2:Utalii wa Baharini: Kuendeleza vivutio vya utalii kama vile mbuga...
Utangulizi
Asanteni sana kwa kupata fursa hii kuandika maoni yangu kwa kulenga maendeleo ya Tanzania miaka 5 mpaka 25 ijayo
KILIMO NA UFUGAJI.
Mradi wa Ushauri wa Kuendeleza Kilimo Tanzania kwa Miaka 5
1. Utangulizi
Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo kwa asilimia kubwa ya uchumi wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.