Huo upagani ndio dini yao sema hawana kitabu cha rejea
Wanaabudu mizimu. Kwahiyo hata viongozi wa nchi watakabidhiwa kwa mizimu walindwe.
Au uongo ndugu zanguni
Ukweli nikwamba suala la baadhi ya makundi kuitwa wafanye maombi/dual inakua kama upendeleo.
Au hao mababu wavaa ngozi za wanyama mnaona watachafua hali ya hewa kwenye majukwaa yenu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.