inashangaza jinsi habari hii iiliyowekwa mnachukulia kuwa ndio hali halisi ilivyo na ukweli...ushahidi wa kuwa EL anajua na akaweka hadharani kuwa wambunge wamepewa hongo na akamweleza Mengi uko wapi?? na kwa nini amweleze Mengi, na ili iweje?? hata kama PM anaissue zake basi sio kila jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.