Recent content by Africanar

  1. Africanar

    Wanafunzi wa vyuo vya ualimu nchini

    vipi upo chuo ganmkuu
  2. Africanar

    Wanafunzi wa vyuo vya ualimu nchini

    ni imani tuu ya mwenyezi mungu isee maana hii serikali ya awamu hii hata haina hofu ya mungu
  3. Africanar

    Kamaliza sekondari kidato cha nne 2014, anaweza kurudia mtihani?

    Habari za muda huu wanajukwaa wote vp wikiendi inakwendaje? ebuana nina mdogo wangu kamaliza sekondari kidato cha nne 2014 sasa kutokana na matokeo yake yaani combination inbalance hakufanikiwa kuchaguliwa kidato cha tano matokeo yalikuwa kama ifuatavyo; Physics-F Mathematics-F CHEMISTRY-B...
  4. Africanar

    Wanafunzi wa vyuo vya ualimu nchini

    Habari za wakati huu ndugu zangu na wananchi wenzangu wa hiki jukwaa la kitaaluma habari za wikienda! pasipo kupoteza muda mimi si mwenyeji sana wa mtandao huu tukufu ila lengo la kuandaa huu uzi ni kuhitaji kufahamiana na wanafunzi wa vyuo vya ualimu wa ODPE tanzania yaani diploma ya ualimu...
  5. Africanar

    Msaada wa tiba: Fangasi za mdomoni (ulimi)

    sana mkuu.vp upo mkoa gan!
  6. Africanar

    Msaada wa tiba: Fangasi za mdomoni (ulimi)

    dah well said clinician..umefunga topic mkuu yaan umejib kitabibu haswaaaaaah.be blessed always!
  7. Africanar

    Msaada wa tiba: Fangasi za mdomoni (ulimi)

    dah! upo right sana kwa maelezo yako clinician. umejibu kitabibu zaidi yaani nimekupata be blessed always sir!
  8. Africanar

    Msaada wa tiba: Fangasi za mdomoni (ulimi)

    upo right mkuu nimeenda duka la dawa wanasema inasaidia kukausha vidonda from internal!.thanks
Back
Top Bottom