Habari za muda huu wanajukwaa wote vp wikiendi inakwendaje?
ebuana nina mdogo wangu kamaliza sekondari kidato cha nne 2014 sasa kutokana na matokeo yake yaani combination inbalance hakufanikiwa kuchaguliwa kidato cha tano matokeo yalikuwa kama ifuatavyo;
Physics-F
Mathematics-F
CHEMISTRY-B...
Habari za wakati huu ndugu zangu na wananchi wenzangu wa hiki jukwaa la kitaaluma habari za wikienda!
pasipo kupoteza muda mimi si mwenyeji sana wa mtandao huu tukufu ila lengo la kuandaa huu uzi ni kuhitaji kufahamiana na wanafunzi wa vyuo vya ualimu wa ODPE tanzania yaani diploma ya ualimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.