Recent content by Africa Yetu

  1. A

    Mengi: Natishwa

    Huko kenya alifunga mabenki na group lake la G7,ndo alikua frontmen wa Moi..south kaiba sana kwenye estates na baadae state kabla ya kurudi Bongo shamba la bibi. We need to do homework before inviting these indians kwenye kila wizi wanahusika.
  2. A

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Waswahili bwana,maneno meengi hayana maana..hawezi summarize watu tukarudi bungeni kujadili mambo ya msingi??eti anapiga stori.
  3. A

    Maswali 10 kwa mbunge wangu Vincent Nyerere

    Yan kudelete ccm ndo kazi nzuri aliyofanya mhuni yule,kwanza naomba cv yake alafu tuanze kumjadili.
  4. A

    Maswali 10 kwa mbunge wangu Vincent Nyerere

    Yan kudelete ccm ndo kazi nzuri aliyofanya mhuni yule
Back
Top Bottom