Recent content by Africa Kilimo News

  1. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri Kwa yeyote ambaye anafahamu biashara ya kupeleka mbuzi Kiwandani

    Naomba unieleweshe hapo wanataka mbuzi 7 point au 8 unamaanisha nini?
  2. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri Kwa yeyote ambaye anafahamu biashara ya kupeleka mbuzi Kiwandani

    Kipo Vigwaza wanaangaliana na ranch ya NARCO
  3. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    Karibuni kwenye pages zetu mjifunze ufugaji bora
  4. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Pwani unagawa kwa Wafugaji maeneo ya kufugia(Min Ranch)

    Pwani miaka mingi ina wafugaji wa asili,maeneo yalitengwa tangu enzi za Nyerere,kuanzia Vigwaza ,Chamakweza huko kote ni maeneo ya wafugaji
  5. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    Anafugwa kwenye joto na baridi.
  6. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    Ng'ombe huyu ana asili ya Brazil anatokana mchanganyiko wa ng'ombe wa asili Gyr na Friesian. Anasifika kwa kutoa maziwa mengi Girolando jike aliyezaa mara ya kwanza anaweza kutoa hadi lita 18 kwa siku na aliyezaa mara ya pili anaweza kufikisha lita 30 kwa siku. Sifa nyingine ambayo inafanya...
  7. Africa Kilimo News

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Pwani unagawa kwa Wafugaji maeneo ya kufugia(Min Ranch)

    Huu ni mpango wa mkoa wa Pwani kugawa maeneo ya uwekezaji kwa ajili ya kufugia na kulima malisho(Min Ranch)ambapo kila mfugaji au mfugaji mtarajiwa atapewa ekari 125 sawa na hekta 50. Masharti ni kufuga na kupanda malisho si kwa ajili ya kilimo, lengo likiwa kupata mashamba ya kisasa ya...
Back
Top Bottom