Recent content by aflongotiki

  1. A

    Mikataba ya Madini na Serikali ya Tanzania

    Hata mimi nimekuwa nikijiuliza sana ni kwa nini maswala yote yanayohusu mikataba yasiwekwe wazi. kwa wananchi wote wajue na ikibidi kupata nafasi ya kuchangia mawazo.kwani yote yanatakiwa kuwa kwa manufaa ya Taifa na si watu binafsi.Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania.
Back
Top Bottom