Hata mimi nimekuwa nikijiuliza sana ni kwa nini maswala yote yanayohusu mikataba yasiwekwe wazi. kwa wananchi wote wajue na ikibidi kupata nafasi ya kuchangia mawazo.kwani yote yanatakiwa kuwa kwa manufaa ya Taifa na si watu binafsi.Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.