Paukwa ?
Mkurugenzi wa halmashauri ya mbeya vijijini hasa mji mdogo wa mbalizi kwa nini mnaruhusu watu kulima mahindi katikati ya makazi ya watu?
Usalama wa wananchi umekuwa mdogo hasa kwa watoto mahindi yamechukua eneo kubwa yamekua kificho cha wezi mabalozi wa mtaa wapo, wenyeviti wapo...
Elimu yetu ya Tanzania inatuandaa kuajiriwa na sio kujiajiri kwa iyo Prof Mkenda punguza idadi ya udahili vyuo vikuu elekezeni nguvu vyuo vya kati na ufundi wasomi wapo wengi na kila mwaka wanahitimu,mnajaza watu ambao ata nchi haiwezi kuwaajili mfano walimu huko mnahitaji elfu 13 wanakuja...
Habari ya asubuhi wanabodi kijana wangu anahangaika kuomba ajira katika jeshi la zimamoto na uokoaji ila cha ajabu portal yao inasumbua inakataa taarifa inaandika processing tu kwa aliefanukiwa kuomba ajira izo online alifanyaje fanyaje??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.