Mimi si tu kusoma nimzaliwa,Kisendi namfahamu sana hata yeye ananijua ,kushoka alishafariki Ndugu yake Kisendi anaitwa Magolyo yupo Geita kwa Inyasi YAKOBO napajua ni ndugu kwa upande wa Bibi kizaa Baba .ukiulizia mtu ana itwa Samwel Boniphace,au Mwanagokele nafahamika sana pale😄😄
"Mwomba Mungu hachoki akichoka keshapata"nikauli iliyonipa tumaini moyoni huku nikiamini kuwa lazima nitoboe,niliwaza hili na lile kutokana na ugumu wa kazi ngumu iliyokuwa inatukabili Mimi na mfanyakazi wangu, kwani ilifika sehemu hata ikamfanya Sasa kukata tamaa, kijana huyu wa kazi alianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.