Jana, Jumatatu tarehe 29 Juni, na leo Jumanne tarehe 30 Juni, Chuo kinaendesha uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi. Hata hivyo, ukifuatilia namna uchaguzi huo unavyoendeshwa, kuna maswali mengi yanayojitokeza kuhusu uhalali, uwazi na usimamizi wake.
1. Matumizi ya mfumo wa e-voting
Uchaguzi...
Kuna mambo yanaendelea chuoni hapo mpaka unajiuliza, hiki chuo kina wenyewe kweli? Na wanafunzi wamekaa kimya, mpaka unajiuliza tunazalisha wasomi wa namna gani?
Jumanne tarehe 30 June, wamefanya Uchaguzi wa Rais ukitanguliwa na uchaguzi wa wawakilishi wa "faculties" pamoja na madarasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.