Recent content by Adui wa Uonevu

  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi katika Chuo cha St John unaibua maswali mengi kuhusu uwazi na uhalali wake

    Jana, Jumatatu tarehe 29 Juni, na leo Jumanne tarehe 30 Juni, Chuo kinaendesha uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi. Hata hivyo, ukifuatilia namna uchaguzi huo unavyoendeshwa, kuna maswali mengi yanayojitokeza kuhusu uhalali, uwazi na usimamizi wake. 1. Matumizi ya mfumo wa e-voting Uchaguzi...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Hivi St. John's University of Tanzania kina mwenyewe kweli?

    Kuna mambo yanaendelea chuoni hapo mpaka unajiuliza, hiki chuo kina wenyewe kweli? Na wanafunzi wamekaa kimya, mpaka unajiuliza tunazalisha wasomi wa namna gani? Jumanne tarehe 30 June, wamefanya Uchaguzi wa Rais ukitanguliwa na uchaguzi wa wawakilishi wa "faculties" pamoja na madarasa...
Back
Top Bottom